JINSI MAJI TAKA YATOKAYO KATI KATI YA MJI WA TABORA NA KUMWAGIKIA PEMBEZONI MWA MJI
bykslprojects-
0
Daraja lililopo katika kata Ya malolo linalo pitisha maji takayatokayo mjini na kuelekezwa katika mashamba ya mpunga na mengine Kuelekea katika bwawa dogo lililotumika kuhifadhia maji wakati wa ujenzi wa Barabara iendayo Kigoma (Maarufu kama bwawa la wachina)